Mwl Daniel Mwasumbwe akifundisha katika semina ya Vijana huko Mahenge Morogoro iliyofanyika tar 04/10/2014. Somo: MADHARA NA NGUVU YA AGANO KWENYE MAHUSIANO NA NAMNA YA KUJIKOMBOA ILI UFANIKIWE
Mwl akielezea vitabu alivyoviandika vya vijana na wazazi wakati wa semina
Mwl wakati wa semina ya utumishi Jijini Dar es salaam
Team ya huduma TEN kutoka Nairobi wakiwa wametoka kumalizia semina ya utumishi
Mwinjilisti Joshua akiombea wagonjwa
Mwalimu akiombea waliookoka
Mwl Mwasumbwe akiwaombea watu wakati wa semina.
Wajane na wahitaji wakipewa msaada wa nguo huko Kikombo Dodoma
Nguo za msaada kwa wajane na wasiojiweza
Wajane na waio jiweza wakipewa msaada wa nguo
Mwl akifanya maombezi
Mwalimu Daniel Mwasumbwe akifanya maombi ya ujumla
Chumba cha maombezi
Watu wakifunguliwa kutoka kwenye vifungo vya mwovu Shetani
(Kushoto) Mch Nsasu pamoja na wageni wake wakienda katika semina
Mwl Daniel mwasumbwe akisimama madhabahuni kuanza kufundisha na ikiwa ni siku ya kuhitimisha semina na somo lililosema: (NAMNA AMBAVYO ROHO MTAKATIFU ANAWEZA KUKUPA NGUVU ZAKE KATIKA MAOMBI)
Mwalimu Daniel Mwasumbwe akifundisha katika semina
Mwimbaji Mariamu akimsifu Mungu kwa njia ya uimbaji
Mwalimu na wainjilisti wakipanda tayari kuanza kuhubiri pamoja na maombezi ikiwa ni siku ya mwisho.
Safari ya Kurudi Dar es salaam
Mwinjilisti Mordekai pamoja na Mwinjilisti Paulo
Mwalimu pamoja na Mwjilisti Joshua
Mwinjilisti Joshua Matata akihubiri
Mwimbaji wa nyimbo za Injili Jenifer akimsifu Mungu kwa njia ya uimbaji
Mwinjilisti Paulo j akihubiri siku ya 3 ya mkutano
Watu wakiwa wanashuhudiwa majumbani mwao na wakimpkea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yao.
Watu wanashuhudiwa majumbani na kuokoka
Mwalimu akiombea watu katika semina
Mwimbaji Benard akihudumu kwa njia ya uimbaji
Mwl Lusajo Mwaihabi katika huduma huko Jijini Mbeya wakati wa Semina ya siku 8 Itete Tukuyu
Muimbaji Philimon Mgogo akimsifu Mungu wakati wa huduma Huko Itete Tukuyu Jijini Mbeya
Mwalimu Mwasumbwe akiombea vijana waliookoka wakati wa semina ya Vijana huko Itete Jijini Mbeya
Timu ya kusifu na Kuabudu
Mombezi kwa vijana
Mwnyekiti wa NPC Ipyana Mwandinde (Kushoto) akiwa na Philemon Mgogo (Kulia)
Timu ya wahudumu wa NPC baada ya kumaliza semina ya Vijana huko Itete Tukuyu Jijini Mbeya
(Kushoto) Jenipher Philipo, (Katikati) Adelina Chesco, (Kulia) Huruma Mwakibolwa
(Kushoto) Godwini Mori, Anayefwata Mwalimu Mwasumbwe, anayefwata Philimoni Mgogo, anayefwata ni Ipyana Mwandinde, na wa mwisho ni Mwinjilisti Joshua Matata.
(Kushoto) Baba Mzazi wa Mwalimu Daniel Mwasumbwe.
Mwalimu Daniel Mwasumbwe akiwa na Baba Mzazi mzee Gwakisa Gepson Mwasumbwe
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni